• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • KENYA: BEI YA CHANGARAWE KUPANDA

    (GMT+08:00) 2017-12-27 17:32:55

    Baada ya kushuhudiwa vifo vya wachimbaji changarawe katika baadhi ya migodi nchini Kenya, agizo la kupulia mbali shughuli hii limetolewa rasmi. Kaunti sita zikiwemo Makueni, Kajiado, Embu, Nairobi, Kitui na Isiolo zimeathirika na marufuku haya ya kutochimba changarawe kwenye migodi.

    Agizo hili ambalo liliytolwe na wizara ya uchimaji madini huenda ikaathiri shughuli za ujenzi kwa kuongeza bei ya bidhaa hii muhimu. Marufuku yalitolewa baada ya idadi ya wanaoangamia kwenye migodi ya changarawe ikiongezeka. Kwa sasa maafisa wa kusimamia mazingira na wale wa wizara ya uchimaji madini watazuru migondi yote nchini ili kutathmini usalama wake kwa wanaofanya kazi humo. Yeyote atakayepatrikana akichimba changarawe kweney mgodi usiokuwa na kibali kutoka kwa serikali, atachukuliwa hatua kali.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako