• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Zambia yatarajia kupata dola milioni 500 kwa mwaka shirika la ndege la taifa likianza kutoa huduma

    (GMT+08:00) 2017-12-29 09:45:06

    Serikali ya Zambia inatarajia kupata dola milioni 500 za kimarekani kila mwaka kutokana na mauzo ya tiketi baada ya shirika la ndege la kitaifa litakapoanza kutoa huduma mwaka kesho.

    Waziri wa uchukuzi na mawasiliano Bw. Brian Mushimba amesema sekta ya usafiri wa ndege ya Zambia inahudumiwa na mashirika zaidi ya 10 ya kigeni, yanayosafirisha abiria milioni 1.5 kwa mwaka, lakini nchi yake haikupata faida kutokana na ndege zikikaa kwa muda wa chini ya saa mbili hazitozwi ada.

    Aliongeza kuwa kutokana na kurudishwa kwa shirika hilo, serikali inatarajia ongezeko kwenye sekta mbalimbali kama vile utalii, kilimo na uchimbaji madini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako