Mtuhumiwa wa mlipuko uliotokea katika duka kubwa mjini St. Petersburg, nchini Russia jumatano iliyopita alikamatwa na anahojiwa.
Idara ya usalama ya Russia FSB imesema, imemtambua na kumkamata mpangaji na mtekelezaji wa mlipuko huo, na kumfikisha kwenye kamati ya upelelezi ya Russia kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Rais Vladimir Putin wa Russia ameutambua mlipuko huo kuwa ni kitendo cha ugaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |