Ligi hiyo inatarajiwa kurejea rasmi Februari 6 na 7 kwa michezo ya raundi ya 11 kwa kuwa tayari raundi kumi za msimu huu zimekwishachezwa na kwa mujibu shirikisho la soka la Rwanda FERWAFA ratiba itafanyiwa mabadiliko ili kukidhi azma hiyo..
Michuano ya CHAN inatarajiwa kuanza rasmi January 13 hadi Februari 4, tayari timu ya Rwanda imekwenda Tunisia kwa ajili ya kambi ya kujiandaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |