• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waziri wa mambo ya nje wa Zambia ajiuzulu

    (GMT+08:00) 2018-01-03 09:38:21

    Waziri wa mambo ya nje wa Zambia Bw. Harry Kalaba ametangaza kujiuzulu kutokana na suala la ufisadi kutotatuliwa.

    Bw. Kalaba amesema hawezi kuendelea kufanya kazi ndani ya serikali ya Zambia, na kuangalia wenzake wanaotarajiwa kupambana na ufisadi wakiwa mstari wa mbele kwenye uporaji wa raslimali za umma.

    Bw. Kalaba amesema amewasilisha barua ya kujiuzulu kwa rais Edgar Lungu, lakini ataendelea kuwa mbunge wa chama tawala cha Zambia.

    Katika miezi miwili iliyopita Rais Edgar Lungu amewafuta kazi mawaziri wawili kutokana na tuhuma za ufisadi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako