Wawili hao wanatarajiwa kujiunga na timu hiyo mapema mwezi ujao baada ya kukamilisha taratibu za usajili.
Gisagara wameendelea kujifua kwa ajili ya msimu mpya wa ligi hiyo huku wakinunua wachezaji wapya.
Wachezaji wengine waliosajiliwa na timu hiyo ni Vincent Dusabimana na Eugene Tuyishimire, wote kutoka chuo kikuu cha Kibungo.
Wengine ni Yves Niyonkuru and Peter Bigirimana wote kutoka timu ya REG, pamoja na Nelson Murangwa alisajiliwa kutoka Tricolorul LMV ya Romania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |