Wabunge waeleza wasiwasi wao kuhusu nishati kwa makampuni ya utengenezaji
(GMT+08:00) 2018-01-05 08:56:30
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uchumi na Biashara nchini Rwanda wameeleza wasiwasi wao kuhusu suala la upatikanaji usio wa uhakika wa umeme na kodi kubwa za nishati hiyo ambayo wamesema inaathiri uzalizaji na maendeleo ya sekta ya utengenezaji nchini humo.