Bao pekee la Yanga leo lilifungwa na Emmanuel Martin dakika ya 60 na kuifanya timu hiyo ifikishe pointi 12 baada ya kushinda mechi nne, sasa ikilingana na Singida United ambayo yenyewe iko juu kwa wastani wa magoli.
Yanga inashuka tena dimbani usiku wa leo kucheza na Singida United majira ya saa 2:15, mechi ambayo itaamua kinara wa kundi, mechi itatangauliwa na mechi moja ya kundi A baina ya Simba na URA ya Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |