Timu ya Power Basketball Club ndiyo imeonekana kuongoza katika harakati hizo, ikiwemo usajili wa nyota anayeng'ara Steven Wundi iliyomsajili kutoka UCU Canons.
Wundi anachukua nafasi ya mchezaji wa kimataifa wa Burundi Willy Njimbere ambaye mabingwa hao mara tano wa ligi kuu walimwachia aondoke.
Kuhusu maendeleo ya ligi hiyo ambayo sasa ipo katika hatua ya nusu fainali Power Basketball wamejikuta wakifungwa mechi tatu mfululizo na bingwa mtetezi City Oilers.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |