• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Jeshi la Syria lapambana na kundi la LLC lenye uhusiano na Al-Qaida

    (GMT+08:00) 2018-01-10 08:51:23

    Vikosi vya serikali ya Syria vimepambana na kundi la LLC lenye uhusiano na Al-Qaida kwenye sehemu za kusini na kaskazini magharibi mwa Syria, baada ya kundi la Islamic State kupoteza ngome zake zote nchini Syria. Kundi la LLC ambalo pia linajulikana kama Nusra Front, limepoteza ngome yake ya mwisho mjini Beit Jin magharibi mwa mji wa Damascus, kufuatia jeshi la Syria kuendeleza ushindi dhidi ya kundi hilo kwenye maeneo yaliyo karibu na mpaka wa Lebanon.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako