Djokovic ambaye alishuka kwa viwango vya ubora kutokana na kutoshiriki kwa muda mrefu mashindano kufuatia majeruhi kwa mara ya mwisho alionekana katika mashindano ya Wimbledon.
Endapo Nyota huyo atashiriki na kutwaa taji hilo basi ataweka rekodi kwa atakuwa ameshinda mara nyingi zaidi, kwa kufikisha mataji 7, ambapo mpaka sasa ameshinda mara 6 ambayo ni sawa na mkongwe mwingine Roy Emerson wa Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |