Hitimana anachukua nafasi iliyokuwa wazi kwa muda wa miezi miwili baada ya klabu hiyo kumtimua Ali Bizimungu.
Klabu hiyo yenye makazi yake Nyamata, iko katika nafasi ya 12 kwenye msimamo ikiwa na pointi 10 ambazo ni mbili tu zaidi ya timu ya mwisho kwenye msimamo.
Hitimana pia aliwahi kufindisha timu ya taifa ya vijana chini ya umri 23 kuanzia mwaka 2012 hadi 2015, na wakati huo huo alikuwa ni kocha msaidizi wa Rayon Sport tangu mwaka 2003 hadi 2015.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |