• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya ya fufua mtambo wake wa gesi asili

    (GMT+08:00) 2018-01-15 20:17:34

    Kenya imefufua mipango ya kujenga mtambo wake wa kwanza wa umeme wa gesi huko Mombasa baada ya kuacha mradi huo mwaka 2016.

    Waziri wa kawi Charles Keter ameanzisha mazungumzo mapya na Hazina ya fedha katika kuandaa muundo wa fedha kwa kituo cha kuzalisha kawi cha megawatt 700 (MW) ambacho serikali inataka kutekeleza pamoja na mwekezaji binafsi chini ya mfano wa ushirika wa kibinafsi.

    Mnamo mwaka wa 2016,wizara ya kawi ilisitisha mradi wa gesi asili mjini Mombasa, ambayo ilikadiriwa kugharamu sh bilioni 130.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako