Mwanadada Nyirarukundo Mwenye miaka 20 pia anatarajiwa kusafiri kwenda nchini Kenya tarehe 20 mwezi huu kwa ajili ya kambi ya juu ya maandalizi.
Nyirarukundo ambaye ni kutoka timu ya riadha ya APR aliandika rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza nchini Rwanda kushinda mbio za nusu marathon za Kigali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |