Diego alimgonga mwamuzi kwenye kisigino katika kilichoonekana kama ajali tu dakika za mwisho za mechi.
Lakini Chapron alimrushia teke mchezaji huyo na kisha akampa kadi ya pili ya njano, kwa sababu ya kulalamika.
Katika mechi hiyo PSG walishinda kwa 1-0. Na tayari Chapron alikuwa ameteuliwa kusimamia mechi ya Ligue 1 kesho Jumatano kati ya Angers na Troyes. Nantes wanataka kadi hiyo ibatilishwe kwani isipobatilishwa kwani isipobatilishwa Diego atakosa mechi moja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |