Nyota huyo mwenye miaka 24 amesaini mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya faranga za Rwanda milioni 6, na atakuwa akilipwa mshahara wa faranga 400,000 kwa mwezi.
Taarifa zinasema kuwa, endapo Yassin Mugume atafanya vizuri basi mkataba wake na Rayon unaweza kuongezwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |