Akizungumza wakati wa kutoa vyeti kwa madaktari, waamuzi na makocha wa mchezo wa masumbwi waliohitimu kwa mafanikio mafunzo yaliyoandaliwa na umoja wa vyama vya masumbwi duniani, AIBA, Rais wa UBF Kenneth Gimugu alisema wakati umefika wa kurudisha hadhi ya Uganda kwenye masumbwi duniani.
Jumla ya wanamichezo 25 walipokea vyeti hivyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |