Hapa Beijing kombe hilo litapita Aprili 25 kabla ya kwenda Shanghai Aprili 26, kwa nchi za Afrika Mashariki kombe hilo litatua Nairobi nchini Kenya Februari 26, na Kampala Uganda mwezi Machi 5.
Lengo la ziara ya kombe hilo, kwa mujibu wa waratibu ni kuwapelekea kwa ukaribu zaidi wapenzi na mashabiki wa soka kombe halisi, lakini pia ikiwa ni kuitangaza michuano ya kombe la dunia ijayo itakayofanyika nchini Urusi mwezi Juni mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |