Mwamuzi wa kati atakuwa Isreal Nkongo, atakayesaidiwa washika vibendera Josephat Bulali na Soud Lila, mwamuzi wa akiba atakuwa Elly Sasii na Kamishna wa mchezo huo ni Omar Abdulkadir.
Yanga inazidiwa pointi tano na Azam FC inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu, nyuma ya vinara, Simba SC wenye pointi 32.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |