Habari kutoka huduma za kutoa msaada wa dharura zinasema ndege ya abiria iliyokuwa na watu 71 ilianguka Jumapili muda mfupi baada ya kuondoka mjini Moscow, Russia.
Wahudumu na abiria hawakuweza kunusurika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |