• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sudan yamteua tena aliyekuwa mkuu wa ujasusi na usalama

    (GMT+08:00) 2018-02-12 08:55:20

    Sudan imemteua tena Bw. Salah Abdallah Gosh kuwa mkuu wa Idara ya ujasusi na usalama ya taifa NISS baada ya kuondoka kwa miaka tisa.

    Bw. Gosh aliwahi kuwa mkuu wa NISS kuanzia mwaka 1999 hadi 2009, ambapo aliimarisha ushirikiano kati ya NISS na Shirika la ujasusi la Marekani CIA.

    Baada ya kuondoka kwenye idara hiyo, Bw. Gosh alikuwa mshauri wa rais hadi mwanzoni mwa mwaka 2011.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako