Ikiwa ni siku ya 12 ya mashindano hayo,timu hiyo imemaliza mchezo huo kwa daraja 2.53.89 na kupata medali ya dhahabu.
Rekodi ya awali katika mchezo huo wakati wa mashindano ya Olimpiki yaliyopita ilikuwa ni 2.58.05 ambapo Uholanzi ilijipatia medali ya fedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |