Todt amesema Kenya ina uwezo mkubwa katika mchezo huo na inastahili kurejea katika kalenda ya mashindano. Rais huyo amefanya ziara nchini Kenya kutathmini usalama wa eneo la nchi hiyo kuwa na mashindano hayo makubwa duniani.
Serikali ya Kenya imesema imetenga dola za Marekani milioni 2 kufanikisha nchi hiyo kurejea katika medani za kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |