• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yatoa wito wa kuanzishwa utaratibu wa kusimamia haki za biandamu duniani

    (GMT+08:00) 2018-03-01 11:11:25

    Mjumbe wa kudumu wa China katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva Bw. Yu Jianhua ametoa wito wa juhudi za pamoja kufanywa kuhimiza ujenzi wa jumuiya yenye hatma ya pamoja, na kuanzisha utaratibu wa kusimamia haki za binadamu duniani wenye haki, usawa, uwazi na ushirikishi.

    Akihutubia Mkutano wa 37 wa Baraza la haki za kibinadamu katika Umoja wa Mataifa, Bw. Yu Jianhua ametoa mapendekeo ya kuhimiza haki za binadamu kwa njia ya kuchochea maendeleo, kuleta usalama, kukuza ushirikiano na kulinda haki na usawa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako