• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Jeshi la Syria lapata maendeleo makubwa huko Ghouta Mashariki

    (GMT+08:00) 2018-03-05 16:38:16

    Serikali ya Syria imesema mapambano dhidi ya wapiganaji wa upinzani yanaendelea huko Ghouta Mashariki, pembezoni mwa mji wa Damascus, na jeshi la serikali limepata maendeleo makubwa kwa kudhibiti vijiji na mashamba kadhaa kwenye eneo hilo.

    Wakati huohuo, raia karibu 2,000 wameondoka katika eneo hilo.

    Serikali pia imesema wapiganaji wa upinzani walirusha makombora 300 dhidi ya maeneo karibu na Damasucs na kusabababisha vifo vya raia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako