Mchezo kati ya PSG dhidi ya Real Madrid, Madrid wakiongozwa na staa wao Cristiano Ronaldo wamefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali kwa kupata ushindi wa magoli 2-1, magoli ya Real Madrid yakifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 51, Casemiro dakika ya 80 wakati goli la PSG lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 71.
Nazo Liverpool na FC Porto zimetoka sare ya bila kufungana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |