Makocha wa timu za vilabu vya mpira wa kikapu Mandy Juruni na Nicholas Natuhereza wameeleza kuwa wachezaji wanapaswa kufanya mazoezi wenyewe binafsi kwanza ili kujiweka fiti kabla ya kuchaguliwa kujiunga na timu ya taifa.
Michuano ya kufuzu kombe la dunia kwa mpira wa kikapu utafanyika mwakani huku Uganda imepangwa kundi B ikiwa na timu za mwenyeji wa michuano hiyo Mali, Rwanda na Nigeria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |