Katika mkutano na waandishi wa habari jana makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mayanga amewaita kikosini wachezaji wote wanaocheza nje ya Tanzania, akiwemo Nahodha mshambuliaji Mbwana Ally Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |