Klabu ya Azam imechupa hadi nafasi ya tatu wakiwa na alama 44 baada ya kuifunga Mbao FC mabao 2-1. Nayo Prisons FC kutoka mjini Mbeya, wamepanda hadi nafasi ya nne baada ya ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kutoka Morogoro kwenye Uwanja wa Sokoine.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |