• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mkutano wa Baraza la mashauriano ya kisiasa wafungwa

    (GMT+08:00) 2018-03-15 10:59:14

    Mkutano wa kwanza wa awamu ya 13 ya Baraza la mashauriano ya kisiasa la China CPPCC unafungwa mjini Beijing. Viongozi wa China akiwemo rais Xi Jinping wa China wanahudhuria sherehe ya kufungwa kwa baraza hilo.

    Wajumbe wa mkutano huo watapiga kura kuhusu mswada wa uamuzi kuhusu ripoti ya kazi ya Kamati ya Kudumu ya CPPCC, mswada wa uamuzi kuhusu rasimu ya marekebisho ya katiba ya CPPCC, mswada wa ripoti kuhusu ukaguzi wa mapendekezo, na mswada wa rasimu kuhusu azimio la kisiasa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako