Timu hiyo inawakilishwa na wachezaji 7 wa kiume na 3 wa kike inatarajiwa kuondoka March 24 kuelekea Australia. Mara ya mwisho Kenya kung'ara katika mashindano hayo ilikuwa mwaka 1990 ilimaliza nafasi ya kwanza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |