Mnamo mwaka 2017, maelfu ya ajira yalipungua katika sekta za benki na viwanda na kuogopesha sekta binafsi.
Katika moja ya msimu mbaya zaidi wa mapato ya biashara, zaidi ya makampuni kadhaa yaliyoorodheshwa katika hisa ya Nairobi yametoa onyo ya faida.
Faida za chini zatarajiwa kuathiri utendaji wa Kiuchumi.
Katika miaka miwili iliyopita, makampuni mengi yameripoti kukabiliwa na mazingira magumu ya uendeshaji wa biashara.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |