Mbali na jiji la Paris kuwa mwenyeji wa michezo ya Olimpiki ya mwaka 2024 jiji la Los Angeles nchini Marekani nalo litakuwa mwenyeji wa michezo ya mwaka 2028.
Rais wa kamati ya Olimpiki Thomas Bach amepongeza namna mchakato wa kuwapata wazabuni ulivyofanikiwa na kuzitaka miji hiyo kuanza manadalizi mapema.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |