Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Lu Kang leo ametangaza kuwa, Rais Hage Gottfried Geingob wa Namibia atafanya ziara nchini China kuanzia tarehe 28 mwezi huu hadi tarehe 3 Aprili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |