Huenda Man City ikamkosa mshambuliaji wake Sergio Kun Aguero kutokana na kusumbuliwa na majeraha aliyoyapata wiki kadhaa zilizopita na kumfanya akosekane hata mazoezini kwa siku kadhaa.
Timu hizo zinakutana katika dimba la Anfield ambapo Man City itakuwa na kibarua ugenini cha mkondo wa kwanza wa mchezo huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |