Bocco alifunga goli la kwanza dakika ya 17 na dakika ya 64 na kuizima kabisa Njombe Mji ambayo ipo nafasi ya 15 ikiwa na pointi 18 kwenye msimamo wa ligi inapambana isishuke daraja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |