Rais Xi Jinping wa China leo hapa Beijing amekutana na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres, akisisitiza kuwa kulinda mamlaka na sifa ya Umoja huo ni sera ya msingi ya mambo ya nje ya China.
Baada ya kukaa mjini Beijing, katibu mkuu huyo ataenda Bo'ao mkoani Hainan ili kushiriki kwenye mkutano wa mwaka wa 2018 wa Baraza la Asia la Bo'ao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |