Tarehe 8 mkutano wa mwaka wa baraza la Asia la Bo'ao ulifunguliwa mkoani Hainan, China. Siku hiyo mchana rais Xi Jinping wa China alikutana na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres na rais Alexander Van der Bellen wa Austria ambao wako ziarani nchini China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |