Rais Xi Jinping wa China leo amesema, tangu Baraza la Asia la Boao lianzishwe, limetoa mapendekezo mengi katika kukusanya maoni ya pamoja ya Asia, kuhimiza ushirikiano wa pande mbalimbali, kusukuma mbele utandawazi na kujenga jumuiya ya binadamu yenye mustakabali wa pamoja, na kutoa mipango mingi mikubwa na yenye thamani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |