Safu ya ushambulizi ya Simba inaonekana kuwa kali zaidi baada ya wachezaji wake kukwamisha wavuni mabao 58 katika mechi 25.
Watani wao Yanga ambao wamecheza mechi 23 wanafuatia wakiwa na mabao 40 ya kufunga.
Mechi ya watani hao, mara nyingi inakuwa haitabiriki na imekuwa ikitokea timu inayoonekana bora wakati mwingine kupoteza dhidi ya timu ambayo inaonekana si bora sana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |