Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini leo asubuhi amefanya mazungumzo ya kwanza na mwenzake wa Korea Kaskazini Bw. Kim Jong-Un.
Mazungumzo kati yao yamefanyika katika jengo la Peace House katika kijiji cha mpakani cha Panmunjom kilichoko upande wa Korea Kusini.
Rais Kim Jong-Un ni kiongozi wa kwanza wa Korea Kaskazini kufika nchini Korea Kusini tangu vita vya Korea vilivyotokea mwaka 1950 hadi 1953.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |