• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Celtic wafanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu msimu huu baada ya ushindi wa jana dhidi ya Rangers

    (GMT+08:00) 2018-04-30 10:11:38

    Klabu ya Glasgow Celtic jana imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Scotland baada ya kuwafunga mahasimu wao wa kihistoria Glasgow Rangers kwa magoli 5-0.

    Huu ni ubingwa wa saba mfululizo kwa Celtic, na ukiwa ni ushindi mkubwa zaidi kuwahi kuupata dhidi ya Rangers.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako