Klabu ya Waasland-Beveren inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Ubeligiji imethibitisha kumsajili mchezaji wa kimataifa wa Rwanda Djihad Bizimana.
Mchezaji huyo mwenye miaka 21 amesaini mkataba wa miaka 3 isiyofungwa kwani unaweza kuongezwa mmoja.
Bizimana ni kiungo maarufu nchini Rwanda akiwahi kucheza kwa nyakati tofauti katika klabu za Rayon Sport na APR.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |