Kulingana na Afisa mkuu wa kampuni ya Safaricom Bob Collymore matokeo hayo yanatokana na mkakati wa kuboresha huduma na bidhaa kwa wateja wake.
Collymore ambaye amekuwa katika likizo ya kimatibabu tokea Oktoba mwaka jana anasema amepata afueni na kuwa ananuia kuendelea kutekeleza majukumu yake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |