Mabao ya Barca yamefungwa na Lionel Messi, Phillipe Countinho na Ousmane Dembele pamoja na Paulinho. Goli la kufuta machozi la Villareal lilifungwa na Nicola Sansone.
Wakati huo huo, kikosi cha Real Madrid kimekubali kichapo cha goli 3-2 dhidi ya Sevilla katika mchezo mwingine wa ligi kuu hiyo.
Barcelona sasa wamefikisha jumla ya pointi 90 huku wakiwaacha wapinzani wao wakubwa Real Madrid katika nafasi ya 3 kwa kuwa na pointi 72.Tanzania street children academy
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |