• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uganda kupoteza bilioni 180 kwa marufuku ya magari ya zamani kuingia

    (GMT+08:00) 2018-05-10 19:42:36
    Serikali ya Uganda itapoteza mapato ya shilingi bilioni 150 kwa kupiga marufuku kuingia magari ya zamani.

    Katika mswada wa mwaka 2018 ulipendekezwa na idara ya trafiki na usalama wa barabarani unaopendekeza kupigwa marufuku kuingia magari yaliopitisha mda wa miaka 10 ,halmashauri ya ushuru imesema itapoteza fedha nyingi.

    Hata hivyo hatua hiyo inalengwa kuimarisha wataalamu kutenegenza magari yao Uganda.

    Kwa mujibu wa wataalamu hao,bei ya magari itapanda kwa kiasi kikubwa na hivyo kuathiri biashara hiyo kwa jumla.

    Kenya ilipitisha mswada huo na sasa ni kinyume cha sheria kuingiza magari yaliopita mda wa miaka 10.

    Sekta ya viwanda vya magari Uganda imepewa shilingi bilioni 140 za kuunganisha magari.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako