Takwimu kutoka baraza la kimatifa la watalii na safari inaonyesha kuwa mwaka wa 2017, kuingia kwa wageni wa kimataifa ilirekodi bilioni 1.2 na Afrika ikichukua milioni 62.
Kuingia kwa wengine Afrika ilisaidia katika nafasi milioni 8.3 za ajiria ndani ya kipindi hicho.
Hii inatarajiwa kuongezeka hadi nafasi za ajiri, milioni 11.6 mwaka 2028.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |