Goli 1-0 la ushindi la Yanga jana kwenye mechi dhidi ya Mbao FC lilifungwa na mchezaji Thabani Kamusoko, na sasa inafikisha pointi 51 na ikiwa nafasi ya tatu nyuma ya Azam yenye 55 na ikiwa nafasi ya pili, na Simba ambayo ni vinara na mabingwa kwa kuwa na pointi 68.
Yanga imesaliwa na mechi mbili ambazo ni dhidi ya Azam FC na Ruvu Shooting.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |