Benki hiyo inasubiriwa kukubali ombi la ya kushiriki kwenye mradi huo kwa usaidizi wa fedha za mradi huo wa megawati elfu 1000.
Waziri wa fedha Henry Rotich amesema baada ya kumaliza changamoto za kimazingira mradui huo ulioapswa kuanza mwaka 2015 sasa umeidhinishwa kuendelea.
Mradi huo utagharimu shilingi bilioni 50.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |