Ripoti iliyotolewa na Shirika la kimataifa la nishati ya atomiki IAEA inaonesha kuwa Iran bado inaendelea kutekeleza makubaliano ya nyuklia JCPOA baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano hayo. Ripoti inasema IAEA inasimamia mpango wa nyuklia wa Iran chini ya makubaliano hayo, na hakuna dalili zinazoonesha kuwa Iran inakiuka makubaliano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |